Back to home

Serikali ya kaunti yazindua kituo kinaichoiga muundo wa manyatta kushughulikia akina mama wajawazito

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 22, 2026
2h ago
Serikali ya kaunti kwa ushirikiano na wawekezaji imezindua kituo kinaichoiga muundo wa manyatta cha kuwashughulikia akina mama wajawazito ili kuhakikisha usalama wao kabla na baada ya kujifungua. Kituo hiki aidha kinatarajiwa kuhamasisha jamii nafasi ya wahudumu wa afya katika ma
Advertisement