Back to home
Ruto atangaza mageuzi katika sekta ya kahawa, akashifu wapinzani wa mswada wa fedha
video
C
Citizen TV (Youtube)June 22, 2026
2h ago
Rais William Ruto ametangaza mpango wa mageuzi katika sekta ya kahawa akisema wakulima watalipwa kwa chini ya siku tano baada ya kufikisha kahawa yao sokoni. Akizungumza kaunti ya Kirinyaga County leo, Rais Ruto pia alisema wakulima watalipwa deni la shilingi bilioni 2 katika baj
Advertisement
Advertisement




