Back to home

Gavana wa kwale Fatuma Achani azindua ujenzi wa bwawa la Nzephu

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 23, 2026
3h ago
Gavana wa kaunti ya kwale Fatuma Achani na naibu wake Chirema Kombo wazindua ujenzi wa bwawa la Nzephu katika kijiji cha Mbita eneo la Ndavaya huko Kinango.
Advertisement