Back to home

Ruto asaini mswada wa fedha wa 2026 kuwa sheria

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 23, 2026
2h ago
Rais William Ruto leo amesaini mswada wa fedha wa mwaka 2026 kuwa sheria, akitoa hakikisho kuwa sheria zinazopitishwa hazitamdhuru Mkenya wa kawaida. Katika hotuba yake, Rais alitetea sheria hiyo iliyoidhinishwa na wabunge juma lililopita.
Advertisement