Back to home

Wajane katika kaunti za Bungoma na Kakamega waitaka serikali kuwawezesha kiuchumi

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 24, 2026
1h ago
Viongozi wa akina mama wajane kutoka maeneo bunge mbalimbali katika kaunti za Bungoma na Kakamega wakutana katika mkutano maalum uliolenga kuelimishana kuhusu nafasi na umuhimu wao katika jamii pamoja na mchango wao katika maendeleo ya taifa.Mkutano huo pia watoa fursa kwa wajane
Advertisement