Back to home
Koome aitaka IEBC kuwachukulia hatua wanasiasa wanaofadhili wahuni
video
C
Citizen TV (Youtube)June 24, 2026
2h ago
Jaji Mkuu Martha Koome ameitaka Tume ya Uchaguzi na Mipaka IEBC kuwafutilia mbali wanasiasa wanaodaiwa kufadhili wahuni wanaovuruga amani, hasa katika mikutano ya kisiasa.
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa mpango mkakati na kalenda ya uchaguzi ya IEBC, Koome amesema baadhi
Advertisement
Advertisement





