Back to home
Mombasa yashuhudia maandamano ya amani
video
C
Citizen TV (Youtube)June 25, 2026
1h ago
Kaunti ya Mombasa ilishuhudia maandamano ya amani ambapo waandamanaji walianza shughuli zao kwa ibada ya kuwakumbuka waathiriwa wa ghasia za maandamano.
Waandamanaji walishirikiana na maafisa wa polisi katika shughuli zilizofanyika huku usafiri na shughuli za biashara zikiendele
Advertisement
Advertisement





