Back to home
IEBC yatarajiwa kuamua hatma ya Mbunge wa Kipipiri Wanjiku Muhia
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 26, 2026
1h ago
IEBC inatarajiwa kuamua hatma ya Mbunge wa Kipipiri, Wanjiku Muhia, katika kesi inayomkabili kuhusu madai ya kukiuka Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wakati wa kampeni zinazoendelea za uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news
Advertisement
Advertisement





