Back to home

Jinsi uchimbaji mchanga ulifanya mto Kasikeu kupoteza maji yake

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 26, 2026
2h ago
Miaka kadhaa iliyopita, mito ya Kasikeu ilikuwa ikifukiwa na uchimbaji holela wa mchanga huku wakazi wakitembea kilomita nyingi kutafuta maji. Migogoro ilitanda, maisha yakapotea na jamii ikagawanyika kutokana na vita vya kulinda au kuendeleza biashara ya mchanga. Subscribe an
Advertisement