Back to home

Viongozi wa serikali wakashifu upinzani kuhusu maandamano

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 26, 2026
1h ago
Viongozi wanaounga mkono serikali wamekashifu vikali viongozi wa upinzani wakidai wanawachochea vijana kufanya maandamano ili kujinufaisha kisiasa. Viongozi hao wamesema kuwa sasa ni wakati wa kukumbatia maendeleo badala ya kupimana ubabe.
Advertisement