Back to home
Watu wawili wazuiliwa kufuatia kutoweka kwa mtoto Nakuru
video
C
Citizen TV (Youtube)June 26, 2026
1h ago
Watu wawili wanazuiliwa na polisi katika kaunti ya Nakuru County kuhusiana na kutoweka kwa mtoto wa miaka minne. Familia ya mtoto huyo inasema mwana wao aliibwa na watu wanaowafahamu. Aidha, inahofiwa kuwa watoto hao walipewa dawa za kuwafanya walale kabla ya kuibwa.
Advertisement
Advertisement




