Back to home

Maandamano Nakuru kufuatia kutoweka kwa mtoto wa miaka minne

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 27, 2026
1h ago
Wakaazi wa eneo la Mzee Wanyama, kaunti ya Nakuru, walifanya maandamano ya amani hii leo kushinikiza maafisa wa polisi kuchukua hatua za kuhakikisha mtoto wa miaka minne aliyeibwa anapatikana. Wakazi hao wanaitaka polisi kuharakisha uchunguzi na kubaini aliko mtoto huyo ambaye a
Advertisement