Back to home

Obocchun Border FC yatwaa ubingwa wa mashindano ya Cheza Cheza

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 28, 2026
2h ago
Obocchun Border FC iliibuka mabingwa wa mashindano yaliyoandaliwa na kampuni ya ubashiri ya Cheza Cheza baada ya kuilaza Amaase FC mabao 3-2 katika fainali iliyochezwa katika uwanja wa Shule ya Amongura kaunti ya Busia. Mbali na ushindani wa soka, mashindano hayo yalitumika kuha
Advertisement