Back to home
Ruto atetea ujenzi wa Ikulu ndogo Imenti, awakosoa wapinzani
video
C
Citizen TV (Youtube)June 28, 2026
2h ago
Rais William Ruto ametetea ujenzi wa Ikulu ndogo katika msitu wa Imenti kaunti ya Meru, akiwakosoa wanaopinga mradi huo kwa kile alichosema ni kupinga maendeleo ya eneo hilo.
Kauli ya Rais Ruto imejiri baada ya Mahakama ya Mazingira eneo hilo kusitisha ujenzi huo ambao unapendek
Advertisement
Advertisement





