Back to home

Habitat for Humanity yachimba kisima cha maji Masinga

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 29, 2026
1h ago
Na katika kaunti ya Machakos, shirika la Habitat for Humanity, kupitia Mradi wa BMZ Masinga, limechimba kisima cha maji katika eneo hilo ambalo limekuwa na uhaba wa bidhaa hiyo kwa muda mrefu.
Advertisement