Back to home

Msongamano Valley Road wazua malalamishi Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 29, 2026
2h ago
Msongamano mkubwa wa magari umeendelea kushuhudiwa katika makutano ya Barabara ya Valley Road na ile kutoka Mahakama ya Milimani kuelekea Barabara ya Kenyatta Avenue jijini Nairobi. Hali hiyo inatokana na ujenzi unaoendelea wa barabara ya juu inayolenga kuunganisha eneo la Upper
Advertisement