Back to home
Baadhi ya wabunge wa kaunti ya Kisii wampigia debe Rais Ruto
video
C
Citizen TV (Youtube)June 30, 2026
3h ago
Baadhi ya wabunge wa mrengo wa Kenya Kwanza kaunti ya Kisii wawarai wenyeji kuunga mkono azma ya Rais William Ruto ya kuchaguliwa tena mwakani ili kukamilisha miradi ya maendeleo iliyoanzishwa Kisii.
Advertisement
Advertisement




