Back to home
Familia huko Nyali, Mombasa yadai haki dhidi ya kifo cha Hamisi Karisa
video
C
Citizen TV (Youtube)July 1, 2026
1h ago
Familia moja eneobunge la Nyali kaunti ya Mombasa yalilia haki baada ya jamaa yao kuuwawa akiwa kazini. Hamisi Karisa Kombe adungwa kisu hadi kufa kutokana na kile polisi wanachodai ni kukosa kukubaliana na maagizo ya makundi mawili yaliokuwa yaendesha biashara ya madini. Washuki
Advertisement
Advertisement





