Back to home
Maureen Nyongesa atwaa taji la jumla katika mashindano ya Kenya Seed Golf Day
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 1, 2026
1h ago
Mashindano ya Kenya Seed Golf Day katika uwanja wa gofu wa Nyanza yamehitimishwa huku Maureen Nyongesa akitwaa taji la jumla, akiongoza mseto wa kipekee wa wakongwe na chipukizi.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get
Advertisement
Advertisement




