Back to home
Baadhi ya wanasiasa walaumiwa kwa kukwamisha maendeleo ya sekta ya madini
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 1, 2026
1h ago
Baadhi ya wanasiasa wamelaumiwa vikali kwa kukwamisha maendeleo ya sekta ya madini kupitia uingiliaji wa shughuli za uchimbaji, hali inayodaiwa kuchelewesha uwekezaji na kunyima kaunti mapato ya ndani
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday
Advertisement
Advertisement





