Back to home

Ubakaji wa mwanafunzi katika kijiji cha Shaviuni, kaunti ya Kakamega

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 2, 2026
2h ago
Familia moja katika kijiji cha Shaviuni, eneo bunge la Shinyalu kaunti ya Kakamega, yalilia haki baada ya mwanao wa kike wa miaka kumi kunajisiwa na kuuawa kinyama.
Advertisement