Back to home
Bob Njagi afikishwa kortini, aachiliwa kwa dhamana
video
C
Citizen TV (Youtube)July 2, 2026
1h ago
Mwanaharakati Bob Njagi hii leo alifikishwa katika Mahakama ya Kajiado baada ya kukamatwa Jumatano iliyopita, siku moja kabla ya maadhimisho ya kumbukumbu za maandamano ya Gen z. Baadaye mwanaharakati huyo aliachiliwa kwa dhamana ya shilingi laki moja na Mahakama Kuu. Aidha faili
Advertisement
Advertisement



