Back to home
Starlets U17 yafanya mazoezi ya kwanza Pretoria
video
C
Citizen TV (Youtube)July 2, 2026
1h ago
Timu ya taifa ya wasichana wasiozidi umri wa miaka 17 imefanya mazoezi yake ya kwanza jijini Pretoria, Afrika Kusini, kuelekea mechi dhidi ya wenyeji hao. Mchezo huo ni wa mkondo wa mwisho wa kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA litakaloandaliwa nchini Morocco baadaye mwaka huu. Koc
Advertisement
Advertisement



