Back to home

Makamishna wa IEBC wawataka wanasiasa kuheshimu sheria

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 3, 2026
2h ago
Kamishna wa IEBC Alutalala Mukhwana awataka viongozi wa kisiasa kuhubiri amani, kuheshimu sheria na kuendesha siasa za ushindani wa haki ili kulinda demokrasia nchini.
Advertisement