Back to home
Kinyang’anyiro cha eneo ubunge la Ol Kalou chakumbwa na vita na vurugu kati ya UDA na DCP
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 3, 2026
1h ago
Zimesalia siku 10 wakazi wa eneo bunge la Ol Kalou kwenda katika chaguzi ndogo wa kumchagua mbunge wao mpya. Kinyang’anyiro hicho kimewavutia wawaniaji tisa ila ubabe ni kati ya chama cha UDA na DCP, na wiki hii vurugu kati ya kambi hizo mbili zimeshuhudiwa huko Ol Kalou.
Sub
Advertisement
Advertisement




