Back to home
Wafanyakazi wa Africa Spirits Ruiru kaunti ya Kiambu, wasema hawajalipwa mishahara
video
C
Citizen TV (Youtube)July 3, 2026
1h ago
Wafanyakazi zaidi ya 250 wadaio kuwahi kuhudumu katika kampuni ya Africa Spirits iliyoko Ruiru kaunti ya Kiambu, waandamana kudai malipo yao baada ya kampuni hiyo kufungwa ghafla na kuwaacha waathiriwa kwenye njia panda.
Advertisement
Advertisement





