Back to home

Waathiriwa 505 wa maandamano walipwa fidia

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 3, 2026
2h ago
Waathiriwa 505 zaidi wa maandamano ya kisiasa nchini wamepokea fidia, kulingana na kamati maalum iliyoundwa kusimamia mchakato huo. Kamati hiyo imesema kuwa jumla ya shilingi milioni 674.1 zimelipwa kufikia sasa. Aidha, imeeleza kuwa orodha ya waliopokea fidia itatangazwa hadhara
Advertisement