Back to home

Gachagua amshambulia Ruto kuhusu migogoro ya ardhi

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 3, 2026
1h ago
Kinara wa DCP, Rigathi Gachagua, amemtaja Rais William Ruto kuwa mnafiki kutokana na migogoro ya ardhi ya Kedong na Kibiko katika kaunti za Narok na Kajiado. Akizungumza nyumbani kwake Wamunyoro, kaunti ya Nyeri, kwenye mkutano na baadhi ya viongozi wa mashinani kutoka Narok, Gac
Advertisement