Back to home
Kindiki atetea uuzaji wa hisa za serikali kwenye kampuni ya Safaricom
video
C
Citizen TV (Youtube)July 3, 2026
1h ago
Naibu Rais Profesa Kithure Kindiki ametetea uuzaji wa sehemu ya hisa za kampunı za serikali kwa wawekezaji wa kibinafsi. Kindiki amethibitisha kuwa serikali imepokea takriban shilingi bilioni 345 kutokana na uuzaji wa baadhi ya hisa zake za kampuni ya Kenya Pipeline na Safaricom
Advertisement
Advertisement



