Back to home
Serikali kutumia nguvu ya kifedha ya vyama vya ushirika kupitia Hazina ya Kitaifa ya Miundombinu
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 4, 2026
2h ago
Zaidi ya shilingi trilioni moja zilizowekezwa na mamilioni ya Wakenya katika vyama vya ushirika sasa vinaaweza kuwa nguzo muhimu ya kufadhili miradi mikubwa ya maendeleo nchini. Serikali imeashiria azma ya kutumia nguvu ya kifedha ya vyama vya ushirika kupitia Hazina ya Kitaifa y
Advertisement
Advertisement





