Back to home

Mamia wafurika kwenye shindano la upishi la Musyi FM Matuu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 4, 2026
2h ago
Mamia ya wasikilizaji wa kituo cha redio cha Musyi FM walifurika katika Mji wa Matuu, Kaunti ya Machakos, eneo bunge la Yatta, ambapo kituo hicho kinachomilikiwa na kampuni ya Royal Media Services kilishirikiana na Joy Millers, watengenezaji wa unga bora wa Kavagara, kuandaa shin
Advertisement