Back to home
Kundi la wanariadha wakimbizi kukimbia kilomita 800 kutoka Kakuma hadi bustani ya Uhuru Park
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 4, 2026
2h ago
Kundi la wanariadha wakimbizi litakimbia kilomita 800 kutoka kambi ya wakimbizi ya kakuma hadi bustani ya Uhuru Park hapa jijini Nairobi kuanzia agosti tarehe 17 hadi 23 mwaka huu.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans.
Advertisement
Advertisement
