Back to home

Ushuru wa chai wadaiwa kupunguza ushindani wa Kenya

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 5, 2026
3h ago
Hatua ya serikali kutoza ushuru wa asilimia 0.8 kwa kila kilo ya majani chai inayouzwa nje ya nchi imedaiwa kuchangia wanunuzi kupendelea majani chai kutoka Rwanda, Uganda na Tanzania. Katika soko la wiki jana, chai kutoka Rwanda iliuzwa kwa shilingi 55 zaidi ikilinganishwa na il
Advertisement