Back to home
Wadau wahimizwa kuimarisha juhudi za kutokomeza ukatili wa kijinsia
video
C
Citizen TV (Youtube)July 6, 2026
2h ago
Wadau wa masuala ya amani na uadilifu wamehimizwa kuunga mkono juhudi za kutokomeza ukatili wa kijinsia, wakisisitiza kuwa ushirikiano wa pamoja ni msingi muhimu katika kujenga jamii salama.
Advertisement
Advertisement




