Back to home

Katibu mkuu wa COTU Atwoli ataka viongozi wa Magharibi kukataa siasa za mgawanyiko

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 6, 2026
2h ago
Katibu Mkuu wa COTU Francis Atwoli ametoa wito kwa viongozi kutoka ukanda wa Magharibi kususia matamshi ya mgawanyiko akisema yanapaka tope azimio la hayati Raila Odinga.
Advertisement