Back to home

Viongozi wa Waluhya wamtangaza Edwin Sifuna mgombea urais 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 6, 2026
2h ago
Viongozi wa jamii ya Waluhya wanaounga mkono vuguvugu la Linda Mwananchi wamemtangaza Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kuwa mgombea wao wa urais mwaka 2027. Uamuzi huo ukifikiwa baada ya kikao kilichoongozwa na Gavana wa Trans Nzoia George Natembeya mjini Kitale.
Advertisement