Back to home
Wakazi Elgeyo Marakwet wahimizwa kulima viazi vitamu kupambana na utapiamlo
video
C
Citizen TV (Youtube)July 6, 2026
2h ago
Katika juhudi za kukabiliana na tatizo la utapiamlo miongoni mwa Watoto wachanga katika kaunti ya Elgeyo Marakwet,Wakazi wa kaunti hiyo wametakiwa kukumbatia kilimo cha viazi vitamu.
Advertisement
Advertisement





