Back to home

Wakazi Elgeyo Marakwet wahimizwa kulima viazi vitamu kupambana na utapiamlo

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 6, 2026
2h ago
Katika juhudi za kukabiliana na tatizo la utapiamlo miongoni mwa Watoto wachanga katika kaunti ya Elgeyo Marakwet,Wakazi wa kaunti hiyo wametakiwa kukumbatia kilimo cha viazi vitamu.
Advertisement