Back to home

Wito watolewa kuimarisha amani miongoni mwa jamii za wafugaji Marsabit

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 6, 2026
8h ago
Kwa muda mrefu, jamii za wafugaji nchini zimekuwa zikikumbwa na migogoro kuhusu mipaka, maeneo ya malisho na rasilimali za asili, huku Marsabit kaunti ikiwa miongoni mwa kaunti zilizoathirika zaidi.
Advertisement