Back to home
Polisi wachunguza visa viwili vya wanawake kuanguka kutoka ghorofani
video
C
Citizen TV (Youtube)July 6, 2026
1h ago
Maafisa wa polisi eneo la Kasarani wameanzisha uchunguzi kubaini chanzo cha mwanamke mwenye umri wa miaka 25 kuanguka kutoka orofa ya sita ya jengo moja katika mtaa wa Thome na kujeruhiwa vibaya. Wakati huo huo, polisi eneo la Kilimani wanawazuilia washukiwa watatu wanaodaiwa kum
Advertisement
Advertisement




