Back to home
Wahudumu wa bodaboda 2,000 kutoka Mombasa wapata mafunzo ya nidhamu
video
C
Citizen TV (Youtube)July 7, 2026
2h ago
Zaidi ya wahudumu wa bodaboda 2,000 kutoka Mombasa watazamiwa kupata mafunzo katika awamu mbili ili kuboresha nidhamu barabarani.
Advertisement
Advertisement





