Back to home
Nishati ya jua yaimarisha huduma za dharura hospitali ya Rufaa ya Samburu
video
C
Citizen TV (Youtube)July 7, 2026
2h ago
Wagonjwa wanao hitaji huduma za dharura katika hospitali ya rufaa ya samburu, wakiwemo watoto njiti wamepata afueni, kufuatia uzinduzi wa mradi wa nishati ya jua katika hospitali hiyo. Hii Ni mojawapo ya mikakati ya kuboresha huduma za matibabu kwenye hospitali hiyo ya rufaa, hii
Advertisement
Advertisement





