Back to home

Miradi yazua mjadala kabla ya uchaguzi Ol Kalou

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 7, 2026
1h ago
Serikali imeanzisha miradi ya zaidi ya shilingi bilioni 10 katika eneo bunge la Ol Kalou huku uchaguzi mdogo wa eneo hilo ukitarajiwa wiki ijayo. Leo, Katibu wa Idara ya Uchumi wa Baharini na Maziwa, Betsy Muthoni, aliongoza hafla ya kuzindua boti mbili zenye thamani ya shilingi
Advertisement