Back to home
Wanafunzi 57,000 wakosa nafasi vyuo vikuuScript
video
C
Citizen TV (Youtube)July 8, 2026
1h ago
Takriban wanafunzi 57,000 wamekosa nafasi katika vyuo vikuu nchini, kulingana na Taasisi ya Uteuzi wa Wanafunzi kwa Elimu ya Juu (KUCCPS).
Taasisi hiyo imesema kuwa karibu wanafunzi 6,500 waliomba kozi za udaktari ilhali nafasi zilizokuwepo zilikuwa 702 pekee. Aidha, idadi kubwa
Advertisement
Advertisement

