Back to home

Mudavadi asema atamuunga mkono Ruto 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 9, 2026
1h ago
Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi amesema hana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao na badala yake atamuunga mkono Rais William Ruto katika azma yake ya kutafuta muhula wa pili. Akizungumza katika kaunti ya Trans Nzoia, Mudavadi amesema analenga kuwania urais katika uc
Advertisement