Back to home
Viongozi wazindua mradi wa maji hospital huko Trans Nzoia
video
C
Citizen TV (Youtube)July 10, 2026
2h ago
Uhaba wa maji safi katika baadhi ya maeneo ya wadi ya hospital, kaunti ya Trans Nzoia, wachangia kuongezeka kwa maradhi yatokanayo na matumizi ya maji machafu, huku serikali na wadau wakitakiwa kuharakisha juhudi za kuhakikisha wakazi wapata maji salama.
Advertisement
Advertisement





