Back to home
Kiambu yaongeza hospitali za ngazi ya nne
video
C
Citizen TV (Youtube)July 10, 2026
2h ago
Kaunti ya Kiambu County imeendeleza juhudi za kuimarisha sekta ya afya ili kukidhi mahitaji ya wakazi wake.
Gavana Kimani Wamatangi amesema kaunti hiyo imeongeza idadi ya hospitali za ngazi ya nne hadi 14, hatua inayolenga kupunguza mzigo wa wananchi wanaotafuta huduma za afya n
Advertisement
Advertisement





