Back to home
Joto la uchaguzi lapamba Ol Kalou huku serikali ikihusishwa na visa vya kuhonga wakaazi
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 11, 2026
2h ago
Imekuwa siku ya kulimbikiziana lawama kwa wagombea wa vyama vya UDA na DCP katika kampeni za eneo bunge la Ol Kalou kaunti ya Nyandarua kwa kuhusika kwa visa vya kuhonga wakazi na kutishia wanaounga mirengo tofauti kati ya vyama hivyo viwili.
Subscribe and watch NTV Kenya live
Advertisement
Advertisement




