Back to home
DCI Pwani yaonya watu dhidi ya kusambaza uvumi kuhusu madai ya watu kupoteza sehemu zao za siri
video
C
Citizen TV (Youtube)July 11, 2026
1h ago
Idara ya upepelezi eneo la Pwani imetoa onyo kwa watu wanaoeneza hofu kuhusu madai ya watu kupoteza sehemu zao za siri kaunti ya Mombasa. Kwa mujibu wa msimamizi wa kitengo hicho pwani Benson Kasyoki, taarifa hizi za porojo zimezua hofu miongoni mwa wakazi, akisema maafisa kutoka
Advertisement
Advertisement




