Back to home
Ruto apigia debe muungano wa UDA na ODM
video
C
Citizen TV (Youtube)July 12, 2026
5h ago
Rais Ruto ameendelea kupigia debe muungano wa serikali yake na chama cha ODM, akisema muungano huo umeleta utangamano nchini baada ya maafa ya vijana wa Gen Z mwaka wa 2024.
Akizungumza huko Kitui wakati wa ibada katika Kanisa la St. Mark's Cathedral, kwa mara ya kwanza Rais ame
Advertisement
Advertisement





