Back to home
Ruto akabidhi Migori Youth FC basi jipyaScript:
video
C
Citizen TV (Youtube)July 13, 2026
5h ago
Rais William Ruto ameikaribisha Migori Youth FC, mabingwa wa Ligi ya Taifa (NSL), katika Ikulu ya Nairobi ambako timu hiyo iliwasilisha kombe lake na kupokea basi jipya aliloiahidi.
Wakiongozwa na mwenyekiti wao, Aziz Abdi Osman, viongozi wa timu hiyo walimshukuru Rais na kumwom
Advertisement
Advertisement





